Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa Msaidizi wa MtendajiMkuu wa Ofisi yaWaziri Mkuu, Marehemu Margareth Lwekama katika ibada ya kumuombea marehemu iyoyofanyia kwenye Kanisa la Hospitali ya Taifa yaMuhimbili jijini Dar es salaam Oktoba 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).