Mtangazaji wa Kipindi cha THE MBONI SHOW kinachoandaliwa na Kampuni ya Chocolate Princes na kurushwa na TBC1, Mboni Masimba, akizungumza kwenye Kongamano la SAUTI YA MWANAMKE lililofanyika jana Gold Crest Hotel Jijini Mwanza.


Kongamano hilo lililenga kuwakutanisha wanawake Jijini Mwanza kupata elimu ya kujikwamua kiuchumi katika masuala mbalimbali ikiwemo biashara/Ujasiriamali pamoja na mahusiano katika ndoa.

Mboni alisema Kongamano hilo litakuwa likifanyika kila mwaka kama sehemu ya shukurani kwa watazamaji wa kipindi cha The Mboni Show katika kuwainua wanawake nchini ambapo wanawake mbalimbali waliofanikiwa kimaendeleo wanazungumza na kuwahamasisha wanawake wengine kimaendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza,Mary Tesha, alipongeza kongamano hilo kutokana na elimu inayotolewa katika kumhamasisha mwanamke kimaendeleo ambapo aliwataka wanawake kuendelea kujiunga na vikundi vya kimaendeleo ili kuhakikisha wananufaika na mikopo kutoka halmashauri husika inayotokana na asilimia tano ya mapato yake pamoja na ahadi ya Rais Magufuli ya kutoa milioni 50 kwa kila kijiji/mitaa.
Na BMG
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza,Mary Tesha, alipongeza kongamano hilo kutokana na elimu inayotolewa katika kumhamasisha mwanamke kimaendeleo ambapo aliwataka wanawake kuendelea kujiunga na vikundi vya kimaendeleo ili kuhakikisha wananufaika na mikopo kutoka halmashauri husika inayotokana na asilimia tano ya mapato yake pamoja na ahadi ya Rais Magufuli ya kutoa milioni 50 kwa kila kijiji/mitaa.
Bi.Chau akiwafunda wanawake Jijini Mwanza
Mkandarasi Maida Waziri ambaye ni mkandarasi bora mwanamke nchini tangu mwaka 2011 hadi 2015, akiwa pia ni Mkurugenzi wa kamppuni tano, akiwahamasissha wanawake Jijini Mwanza katika suala la kimaendeleo.
Mchekeshaji Katarina Wa Karatu akinogesha Kongamano la Wanawake Jijini Mwanza
Mwimbaji Zarry Edosha akitumbuiza
Mwimbaji wa muziki wa taarabu Isha Mashauzi akitumbuiza
Taswira ukumbini
Mc Zipompa (kushoto) na Mboni Masimba (kulia) pamoja na wazungumzaji wengine
Wanawake Jijini Mwanza wakifurahia Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza
Mtangazaji wa Lake Fm, Carol Mwaipungu pamoja na wanawake wengine wakiwa wakifurahia Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza
Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza
Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza
Wasaa wa chakula cha usiku
Chakula kilipikwa kwa ustadi murua
Kwa buku 40 tu wanawake walipata elimu, burudani, chakula pamoja na vinywaji
Kwa buku 40 tu wanawake walipata elimu, burudani, chakula pamoja na vinywaji
Kwa buku 40 tu wanawake walipata elimu, burudani, chakula pamoja na vinywaji
Mgeni Rasmi (DC Nyamagana, wa tatu kulia) akiwa na timu ya Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza
Mboni Masimba (kushoto) akiwa na wadau wake
Mboni Masimba (kulia) akiwa na wadau wake
Zarry Edosha (kushoto) na George Binagi-GB Pazzo (kulia)
Mboni Masimba (kushoto) na George Binagi-GB Pazzo (kulia)
Mkurugenzi wa Dida Vitenge Wear
Mboni Masimba (kushoto) na mdau wake
Mboni Masimba (kulia) na mdau wake
Mboni Masimba (kulia) na mdau wake
Mboni Masimba (kushoto) na mdau wake
Mboni Masimba (kulia) na mdau wake
Mboni Masimba (kushoto) na mdau wake. 
Hakika Sauti ya Mwanamke ni Sauti ya Jamii, Ipe nafasi kwa Maendeleo.
Bonyeza HAPA Kutazama Washiriki