Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akipokea taarifa ya maendeleo ya wilaya ya Arumeru baada ya kusomewa  taarifa hiyo na Mkuu  wa wilaya hiyo,   Alexander  Mnyeti kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha leo  Desemba 17, 2016.

 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akipokea taarifa ya maendeleo ya wilaya ya Arumeru baada ya kusomewa  taarifa hiyo na Mkuu  wa wilaya hiyo,   Alexander  Mnyeti kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha leo  Desemba 17, 2016

Sehemu ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha leo  Desemba 16, 2016.

Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha, leo Desemba 16, 2016.

Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha, leo Desemba 16, 2016.

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)