Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni (SACP) Susan Kaganda, akipita katikati ya dimbwi la maji maeneo ya Kinondoni Makaburini, yaliyotokana na mvua iliyonyesha mapema asubuhi, wakati akiwa katika matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya ya mwili yaliyoongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangupamoja na askari na mofisa wa Jeshi la Polisi. |
0 Comments