Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watoto laki nne wanakabiliwa na utapiamlo nchini Nigeria kwa sababu ya mapigano ya Boko Haram na robo yao huenda wakafariki mwakani.
UN imesema wengi wa watoto hao wamedumaa kwa kukosa chakula
Image captionUN imesema wengi wa watoto hao wamedumaa kwa kukosa chakula
Shirika la kuwahudumia watoto duniani UNICEF limetaja sehemu zilizo athirika zaidi kuwa ni jimbo la Borno, huku robo tatu ya maji na pamoja na miundombinu ikiwa imeharibiwa ama kutokuwepo kabisa.
Umeonya kuwa magonjwa ya kuharisha pamoja na malaria yanaongezeka yanayohatarisha zaidi maisha ya watoto.
Boko Haram walianza harakati zao mwaka 2002
Image captionBoko Haram walianza harakati zao mwaka 2002