BI.TUMAINI LEMA ANATAFUTWA ATAKAYEMUONA ATOE TAARIFA POLISI

Bi.Tumaini Lema (pichani) anatafutwa kwa tuhuma za wizi akiwa mtumshi wa dukani katika maeneo ya Kakola mgodini,mkoani Shinyanga taarifa zimetolewa polisi kwa namba hii Bug/RB/64/17 , yeyote atakayemuona mtuumiwa huyu Bi.Tumaini Lema atoe taarifa polisi na akamatwe mara moja. Ahsanteni