Muda mchache kabla ya kuuga mwaka 2016 watu walikuwa mezani kurekebisha miili ili kujiweka sawa na mwaka 2017 |
Mambo ya kujenga mwili yakiendelea watu hawakutaka mchezo kabisa ilikuwa toa sahani weka sahani |
Vijana wa Maganga One na mama yao wakilainisha makoo baada ya kushiba |
Muddy Durban{kushoto}akipuliza Shishaa hewani kuukaribisha mwaka mpya 2017 huku Maganga One akipozi kuiangalia kamera na Hamis Kizizi akitumia watu salamu za heri ya mwaka mpya |
Wanajeshi ambao wamekutana baada ya miaka zaidi ya 15,ilikuwa furaha sana..Hapo nawazungumzia Muddy Durban,Maganga One Blogger na Hamis Kizizi.. |
0 Comments