Uasi huo ulitapakaa hadi sehemu nyengine za nchi, lakini wakaazi wa miji iliyoathirika , wanasema maisha yamerudi katika hali ya kawaida, na kwamba barabara na maduka yamefunguliwa.
Waziri wa Ulinzi, Alain Richard Donwahi, ameachiliwa huru, baada ya kuzuiliwa kwa saa kadha, na wanajeshi ambao walikuwa hawakuridhika na mapendekezo ya serikali.
0 Comments