Mchezaji wa Hull City Oumar Niasse  akiandika bao la kwanza dhidi ya Liverpool na kuifanya Hull kuongoza kwa goli la kwanza.Ila mpaka mwisho wa mchezo Hull City walitoka wababe kwa ushindi wa 2-0.
Mchezaji Oumar Niasse wa Hull City  akishangilia goli lake la kwanza dhidi ya Liverpool leo hii.