KAIMU
MKUU WA MKOA WA TANGA AIPONGEZA TAYODEA KWA KUSAIDIA KUWAINUA VIJANA
KIUCHUMI
Mwenyekiti wa Tayodea Stephen Kiama Mwaimuakizungumza wakati wa halfa hiyo |
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Muhezaakizungumza kwenye halfa hiyo |
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Mwanasha Tumbo ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Muheza kushoto akionyeshwa kitu na Meneja wa Mradi wa WEKEZA wa Tayodea Michael Mchomvu wakati wa halfa hiyo
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa
Tanga,Mhandisi Mwanasha Tumbo ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Muheza
akitazama vifaa mbalimbali vya ushonaji wa kwanza kutoka kulia ni
Mkurugenzi wa Tayodea ,David Chanyegea
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa
Tanga,Mhandisi Mwanasha Tumbo ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Muheza
akimsikiliza kwa umakini Mkurugenzi wa Tayodea,David Chanyegea kulia
wakati wa halfa ya kukabidhiwa vifaa vya ushonaji kwa vijana kupitia
mradi wa WEKEZA.
Meneja wa Mradi wa WEKEZA wa Tayodea Michael Mchomvuwa kwanza kulia akifuatilia hotuba ya Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi MwanashaTumbo wakati wa kukabidhiwa vifaa kwa vijana.
Habari kwa Hisani ya Blog ya
Kijamii ya Tanga Raha
0 Comments