Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii




Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuondoka Alfajiri ya kesho asubui kuelekea nchini Comoro kwenye mji wa Moroni  tayari kwa mchezo wake wa kwanza ya Ligi ya mabingwa dhidi ya Ngaya.




Msafara utakuwa na wachezaji ishirini(20) benchi la ufundi nane( 8 )pamoja na viongozi wawili(2). Baada ya kikosi kuwasili kinatarajiwa kufanya mazoezi yake kesho jioni kwenye uwanja utakaochezewa mchezo siku ya jumapili.




Wachezaji wanaoondoka kesho ni.




Deogratius Munish,

Ally Mustafa

Deud Kaseke

Haruna Niyonzima

Thaban Kamusoko

Amissi Tambwe

Mwinyi Haji

Saimon Msuva

Geoffrey Mwashuiya

Saidi Makapu

Hassan Ramadhani

Juma Mahadhi

Yusuph Mhilu

Obrey chirwa

Nadir Haroub

Justine Zulu

Kelvin Yondani

Juma Abdul

Oscar Joshua

 Emmanuel Martin.




Benchi la ufundi wanaoondoka ni:




Kocha Mkuu George Lwandamina

Kocha msaidizi Noel Mwandila

Kocha msaidizi Juma Mwambusi

Daktari wa timu Edward Samwel Bavu

Kocha wa Makipa Juma Pondamali

Meneja wa timu Hafidhi Saleh  

Mtaalamu wa viungo Jacob Sospeter Onyango.

Mohamed Omary Mwaliga




Viongozi wanaosafiri.




Mussa Mohamed  Kisoki (Tff)

Paul Malume (Yanga Sc)a