| Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Al Najem (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Africa Relief Organisation Bw. Sami Al Azib wakiwa na hati ya mkataba uliowekwa kati ya Kuwait Red Crescent Society na Africa Relief Organisation wa kuchimba visima 16 katika shule tofauti jijini Dar es salaam katika hafla ndogo iliyofanyika katika Ubalozi wa Kuwait hivi karibuni. |
0 Comments