Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kwa mara ya kwanza amepigwa picha akiwa amenyoa nyele zake wakati alipohudhuria mazishi ya mwanajeshi wa zamani.
Wengi wanaamini ni mara ya kwanza Mugabe kunyoa nywele zake na hata masharubu.

Picha zilizochapishwa katika mitandao ya kijamii zimevutia maoni kutoka kwa raia wa Zimbabwe
Baadhi wamesema kuwa mtindo alionyoa umechangia aonekane kijana.
Lakini hata hivyo wengine wanasema kuwa wameshangaa kuwa nia yake ni ipi.
Labda kubadilisha mtindo wa ni jambo limenza kuiwa na viongozi wa nchi. Rais wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Joseph Kabila pia naye alipigwa picha akiwa na mtindo mpya wa nyele nyingi kichwani alipohudhuria wabunge wiki iliyopita.
Rais Kabila akiwa na nywele nyingiHaki miliki ya pichaAFP
Image captionRais Kabila akiwa na nywele nyingi