Wungwana mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali barani ulaya walishiriki vyema katika dua ya kuwaombeaa wazazi wa wenzetu waliotangulia mbele za haki. |
Mawaidha na nasaha zilizokuwa zikitolewa na mashekh wetu SHekh Hassan na Shekh Habib yaliwagusa kila mmoja wetu |
Jungu kuu halikosi ukoko..Idara hii ilikamilika,kiukweli kila mmoja alikifurahia chakula na watu wote walishiba vizuri.. |
Brother Zile akiwa na kijana wake mikononi,huku shabiki namba moja wa Chelsea Salum Meja toka Holland mwenye fulana ya Bluu akiwa makini kusikiliza mawaidha |
Malaika wa Mungu nao walikuwepo |
Wakati mawaidha yakiendelea kila mmoja alikuwa makini kusikiliza |
Shekh Habib akiendeleza ukumbusho wa mambo muhimu kuhusu suala zima la umauti kwa mwanandamu |
Al habib Ally Qwido akiendeleza yake kwa uchache zaidi,aliwashukuru sana watu wote waliohudhuria shughuli hiyo |
Wakati wa sadaka ulipowadia kila mmoja alishiriki zoezi hili la kuweka tumbo sawasawa |
Mahanjumati yakiendelea kupakuliwa na waungwana
Alhamdulillah chakula kilikuwa kitamu
Dada yetu kipenzi Da' Ummy alihakikisha kila kitu kinakwenda juu ya mstari |
Picha zote na maelezo toka Maganga One Blog.
0 Comments