Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Francis Assenga (wapili kushoto) akibadilishana hati za makubaliano na Mkuu wa Chuo cha Kilimo cha Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA), Prof. Susan Nchimbi-Msolla. Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Sheria na Huduma wa TADB, Bibi Neema-Christina John (Kushotot) na Naibu Mkuu wa Chuo cha Kilimo cha Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA), Prof. Benard Chove (kulia). Makubaliano hayo yalisainiwa katika Ofisi za TADB, Dar es Salaam. |
0 Comments