Karibu tani nne za cocaine za thamaniya karibu dola milioni 260 imekamatwa na maafisa wa kimataifa katika pwani ya Hispania.
Madawa hayo ya kulevya yalipatikana kwenye mashua moja kati ya Madeira na visiwa vya Azores.

Haijulikani ni wapi madawa hayo yalikuwa yakipelekwa. Wahudumu wa mashua hiyo kutoka Uturuki na Azerbaijan walikamatwa.
Chombo hicho kilichikuwa na bendera ya Comoros kulipelekwa bandari ya Hispania ya Cadiz.
Spanish police gather next to the tug boat that was allegedly carrying a 3.8 tonnes of cocaine (07 October 2017)Haki miliki ya pichaEPA
Image captionKaribu tani 4 za cocaine zakamatwa Hispania
A composite image of four handout photos made available by the Spanish Civil Guard (Guardi Civil) shows officers of the Special Operations Group (GEO) and Civil Guard officers during the seizure of a 3.8 tonnes of cocaine (07 October 2017)Haki miliki ya pichaEPA
Image captionKaribu tani 4 za cocaine zakamatwa Hispania
Oparesheni hiyo ya pamoja ileondeshwa na maafisa wa forodha wa Hispania na polisi.
Kumekuwa na visa vingine viwili vya kukamatwa kwa madawa ya kulevya miezi ya hivi karibuni.
Raia 13 wa Hispania na mmoja raia wa Morocco walikamatwa siku ya Jumatatu kufuatia kile kilichoaminika kuwa kukamatwa kiwango kikubwa cha coccaine kwenye taifa hilo la kaskazini mwa Afrika.
Spanish police offload a huge consignment of cocaine seized from a tug boat off the coast of the Canary Islands as it is unloaded in Cadiz, southern Spain 07 October 2017)Haki miliki ya pichaEPA
Image captionKaribu tani 4 za cocaine zakamatwa Hispania
map
Image captionKaribu tani 4 za cocaine zakamatwa Hispania