Home
Home
About
Contact
Home
Uchaguzi wa marudio Kenya wafanyika
Uchaguzi wa marudio Kenya wafanyika
MAGANGA ONE.
October 26, 2017
Muhtasari
Vituo vya kura vitafunguliwa saa kumi na mbili alfajiri
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesusia uchaguzi huo na kuwataka wafuasi wake wasalie manyumbani
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Wafula Chebukati amesema uchaguzi unaweza kuahirishwa baadhi ya maeneo kukiwepo na ukosefu wa usalama
Uchaguzi huu unatokana na hatua ya Mahakama ya Juu kufuta uchaguzi uliofanyika tarehe 8 Agosti
Foleni zaanza kujisuka Eldoret
Mjini Eldoret, ambayo ni ngome ya naibu rais William Ruto, foleni zimeanza kujisuka katika vituo vingi vya kupigia kura.
Mpiga picha wetu Peter Njoroge ametutumia picha hizi:
BBC
BBC
BBC
Upigaji kura ulianza saa mbili
Post a Comment
0 Comments
Social Plugin
Facebook
Tags
Contact form
0 Comments