Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Elimu ya Juu na Uchumi wa Viwanda lililoandaliwa na Chuo Kikuu Huria Tanzania kwa kushirikiana na Viongozi wa Mkoa wa Simiyu lililofanyika kwenye ukumbi wa shule ya Alliance, Bariadi mkoani Simiyu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakiteta jambo na Mkuu wa mkoa wa Simiyu,  Mhe. Anthony Mtaka wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Elimu ya Juu na Uchumi na Viwanda lililofanyika Bariadi mkoani Simiyu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)