Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Wakufunzi na Askari Wanafunzi wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) wakati alipofanya ziara ya kikazi Chuoni hapo.Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Naibu Kamishna wa Polisi DCP Anthony Rutta

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana  na Wanafunzi wanaosomea ngazi ya Uofisa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) wakati alipofanya ziara ya kikazi Chuoni hapo 

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana  na Wanafunzi wanaosomea ngazi ya Uofisa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) (Picha na Jeshi la Polisi).