Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mwenyekiti wa kijiji cha Mtua, wilayani Nachingwea, Anthony Makota wakati aliposoma taarifa kuhusu matatizo yanayokikabili kijiji hicho mbele ya Waziri Mkuu ambaye alisimama kijijini hapo kuwasalimia wananchi, Novemba 17, 2018 . Kulia ni Mbunge wa Nachingwea, Hasan Masala. Picha na Ofisi ya Wazri Mkuu) |
0 Comments