Kikosi cha Kilimanjaro Ff kutoka Sweden wakiwa na kikombe chao baada ya kutwaa ubingwa huo hapo jana tarehe 09.09.2023 jijini Den Haag nchini Uholanzi ambapo mashindano hayo yalipofanyika.
Wachezaji na mlinda mlango wa The Kilimanjaro Ff ya Sweden wenye jezi za blue wakiwa makini kuwadhibiti wachezaji wa Lille kutoka Ufaransa katika nusu fainali ambapo The Kilimanjaro Fc walifanikiwa kuwafunga 
Beki wa timu ya Kilimanjaro Ff akiokoa moja ya hatari kutoka golini kwake,Kilimanjaro Ff kutoka Sweedn ndio timu iliyofanikiwa kutwaa kombe hapo jana baada ya kuifunga Leeds kutoka nchini Uingereza.


Matukio na picha zaidi za Bonanza  nitawaletea baadae..