Timu ya Taifa la Argentina leo imeendeleza ubabe wake dhidi ya Timu ya Taifa la Austria baada ya kuwachapa mabao 2-0 huku mabao yote yakiwekwa nyavuni na mshambuliaji wao pendwa Lione Messi.
Matokeo ya Awali hapo jana ni kama ifuatavyo..
Ft :Ecuador 0 Curacao 0
Ft: Tunisia 0 Japan 4
Ft: Spain 4 Saudi Arabia 0
Ft:Belgium 0 Iran 0
LEO tarehe 22.06.2026 Matokeo mpaka sasa ni kama ifuatavyo:
Ft:Uruguay 2 Cape Verde 2
Ft: New Zealand 1 Egypt 3
Ft:Argentina 2 Austria 0
Matokeo ya France na Iraq tutawaletea hapo baadae mechi ikishamalizika.
Norway vs Senegal
Jordan vs Algeria
0 Comments