Timu kapteni wa timu ya taifa la Argentina  Lionel Messi akikumbatiana kwa furaha na  Lautaro Martínez baada ya ushindi wa goli 3-2 dhidi ya timu ya taifa ya Misri.

Yasser  Ibrahim’s akiwekwa mpira nyavuni kwa njia ya kichwaa na kuifanya Misri kuongoza mpaka kipindi cha kwanza cha mchezo.