Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (katikati) akisakata kiduku jukwaani na msanii Marlow alipopanda katika jukwaani kumuunga mkono msanii huyo alipotumbiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa shina la wakereketwa wa CCM la mtaa wa Pamba House, Dar es Salaam, juzi.(Full shangwe)