Unaposikia au kuona mtu katoka jela na ugonjwa wa kifua kikuu usishangae sana kwa jinsi ya hii picha inavyokuonyesha hali halisi ya mambo ya huko jela.
Watu wakitoka jela urudi na magonjwa ya ngozi,vifua vikuu na magonjwa mengine ya kuambukiza kutokana na mrundikano wa watu huko jela.tazama pichani jinsi watu wanavyolala..!!mwenye blanketi ndio analo,hasiyenalo hana,utapigwa na baridi mpaka asubuhi.Tukumbuke tu sio wanaokwenda jela wote wenye hatia.