Wenzetu tokea wanapokuwa wadogo wanajifunza hii kitu inaitwa utalii.Utalii ni moja ya maisha au moja ya somo kubwa sana la ufahamu,unapokuwa unatembea unajifunza mambo mengi sana.Utalii unakunufaisha sana kujua yale husiyoyajua na kwa upande mwingine unapokuwa unafanya utalii unakuwa unapomzisha akili.Tujaribu kuwa tunatembeatembea hata hapohapo nchini mwetu itatusaidia sana.