Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyakazi Zanzibar,(ZATUC),ukiongozwa na Bwana Khamis Mwinyi Mohamed, pamoja na Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika,ukiongozwa na Waziri Mhe,Haroun Ali Suleiman,(kulia) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kwa mazungunzo na Rais,leo.