Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi ya kinyago Waziri Mkuu wa India, Dk Manmohan Singh wakati Waziri Mkuu huyo alipokutana naye Ikulu, Dar es Salaam. Waziri Mkuu huyo anatarajiwa kurejea nchini kwake Mei 28. (Picha na Fadhili Akida).