Sahani zilizojaa wali wa kilo moja kwa mchanganyiko wa mchuzi wa kuku na vipande vya nyama ya kuku kwa kila mshiriki vikiwa tayari mezani ili kugaiwa washiriki hao.
Haya kipyenga kilipolia kila mmoja aliinamisha shingo kwenye sahani na kufanya kazi ya kupiga matonge ya fastafasta ili amalize mapema,ebu ona kazi ya kupuliza kwa jinsi kilivyokuwa cha moto.
Mie niliwaambia kuwa hamuniwezi makabisha,mnaona sasa?
Kabla game kuanza kila mmoja alipata maelekezo ya awali mabyo waliyakubali na kupiga makofi kama ishara ya kukubalina na utaratibu mzima.
Kazi imekwisha na mshindi wa pili akikabidhiwa ngao  yake na kitika cha fedha toka kwa mkuu wa mkoa wa Morogoro.(Picha na Michuzi blog).