Akina mama wa kijiji cha Isekenese wakimshangilia mgombea ubunge Jimbo la Igunga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Dalaly Kafumu wakati akiruka kwa helkopta baada ya kuwahutubia wananchi wa kijiji hicho. (Na Mpigapicha Maalumu).