Mbunge wa Mbeya Mjini joseph Mbilinyi (SUGU) akibadilishana mawazo na Mbunge Mwenzie kutoka Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe leo wakati wa mapumziko ya mchana ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Dkt. Makongoro Mahanga(kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Msalala Ezekiel Maige wakati wa mapumziko ya mchana ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Baadhi ya wabunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakijaza fomu za vitambulisho vya Taifa leo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(katikati) akibadilishana mawazo jana na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (kushoto) MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (kulia),wakati wa mapumziko ya mchana ya kikao cha Bunge la bajeti linaloendelea mjini Dodoma.




0 Comments