Watoto wa kiume wamejaaliwa ujasiri ambao ni wa kipekee duniani.Pichani kijana mdogo ambaye amediriki kuchukua kisu na kujaribu majaribu ambayo ni hatari. 
Ukiangalia na picha hii utaona kwamba kwa baadhi ya watu hawawezi kukubali kujifukia wangali wazima,ila hapo ni ujana na Uvulana ambao unaleta nguvu za kufanya mambo hayo. 
                    
Mtoto wa kiume ni mtoto wa kume tu,hivi msichana anaweza kufanya ujasiri huo?
Ujasiri wa mtoto wa kume uishia hapaaaa.......yani hata awe mwanajeshi huwa hakuna ujanja,Uongo?