Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali alipofika
katika Ofisi za Shirika la Bandari, Malindi Unguja kupata taarifa
sahihi ya ajali ya kuzama kwa Meli ya MV Sky Get ikitokea Dar es
Salaam kuelekea Unguja.