Bondia mkongwe Rashid Matumla akimfundisha baadhi ya mbinu Bondia Wema Sepetu jinsi ya kupambana na mpinzani wake Jacqueline Wolper kabla ya mpambano kuanza.


Wema Sepetu akipata maelekezo ya mwisho kabla ya mpambano kuanza,anayempa maelezo Wema ni bondia mkongwe nchini Tanzania Rashid Matumla.


Kama ilivyo kawaida Refa wa mpambano akitoa maelezo kwa mabondia wote wawili kujua taratibu na maelekezo muhimu kuhusu sheria za ulingoni,Ni Jacqueline Wolper kushoto na Wema Sepetu kulia wakisubiri kwa hamu kengere ilie.

Mpambano ukiwa umechanganya Jacqueline Wolper kushoto na Wema Sepetu kulia wakijaribu kuonyeshana nani mbabe.Mpaka mwisho wa mchezo mambondia wote walitoka sare kwa kufungana pointi,hivyo hakuna mwamba aliyeweza kumtambia mwenzake.