Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt, wakati wa hafla ya uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100 huko Fumba Zanzibar
 Rais wa Zanzibar, Makamu wa Kwanza wa Rais, Makamu wa Pili wa Rais na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100 huko Fumba Zanzibar.
 Viongozi mbali mbali wa kitaifa wakiangalia uzinduzi wa waya mkubwa wa umeme huko Fumba
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe. Mansoor Yussuf Himid huko Fumba, wakati wa uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100




Viongozi wa Kitaifa wakiwa pamoja na watendaji wa ZECO katika hafla ya uzinduzi wa Waya wa Umeme wa Megawati 100 huko Fumba.(Picha na Salmin Said, OMKR