Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa akiongea wakati wa Kongamano la uzinduzi wa Kanda ya Pwani lililofanyika jana  jijini Dar es Salaam katika Hotel ya Blue Pearl- Ubungo Plaza

Wana Chadema wakifuatilia kwa makini kongamano hilo.

Makamu Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani (Chadema), Mabere Nyaucho Marando (kulia) akifuatilia kongamano hilo.