Watanzania  wanaoishi Ujerumani 
kusherehekea miaka 49 ya Muungano,Mjini Kolon,
Siku ya Jumamosi 27.04.2013.
umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU)
kufanya sherehe za miaka 49 ya muungano
wa bara na visiwani,kama linavyoonekana
tangazo hapo.
Watanzania wote na marafiki wa tanzanzania
mnaoishi ndani na nje ujerumani mnakaribishwa.
 
"Umoja ni Nguvu ! Utengano Ni Udhaifu"
 Chereko Chereko na mwenye mwana
 Watanzania jitokezeni kwa wingi 
kwa mawasiliano zaidi at kamati.utu@googlemail.com

Mhe.Mfundo,mwenyekiti wa Umoja wa Tanzania Ujerumani(UTU).