Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Democratic USA, kuanzia kulia kwa Makamu ni David Wilhem, Michael Granger, Chris Bulinger na mwenyeji wao, Dastan Mrutu, kutoka Business Council, wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa mazungumzo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na David Wilhem (katikati) kutoka Democratic USA, wakati alipofika ofisini kwa makamu kwa mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni mmoja kati ya walioongozana na ujumbe huo, Michael Granger.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Democratic USA, kuanzia kulia ni David Wilhem, Chris Bulinger, (kulia kwa makamu) ni Michael Granger, na mwenyeji wa ujumbe huo, Dastan Mrutu, kutoka Business Council, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)