Wakali wa Hip Hop walioingia Tatu Bora.

The Vodacom Mic King 2013, Martin Fundi, akishangilia baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa gari aina ya Toyota Funcargo (new model) usiku wa kuamkia leo Dar Live.

Martin Fundi akimshukuru Mungu baada ya kutangazwa mshindi.

Warembo 'waki-show love' kwa mshindi wa gari, Martin Fundi.