Makamo Mwenyekiti wa kamati ya maridhiano Eddi Riami, akitoa nasaha zake kwa wazanzibari, huko katika Mkutano wa CUF ulifanyika kibanda maiti, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

 Waandishi wa habari wa vyombo tofauti Nchini wakihakikisha wanapata matokeo mbalimbali yaliojiri katika Mkuto wa CUF uliofanyika kibanda maiti.
                                Sehemu ya umati uliojitokeza leo Kibanda Maiti
 Katibu Mkuu wa CUF Taifa ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi, akihutubia maelfu ya wananchi waliofika kiwanjani hapo leo jun 06 2013.
 Msanii Talinyo na wenzake wa kikundi cha Full Matatizo cha  Bulioni Mjini Unguja wakitoa burudani katika Mkutano wa CUF ulifanyika kibanda maiti, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
                                      Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar