Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa tano wa TICAD unaofanyika Mjini Yokohama, Japan, leo. Picha na Freddy Maro

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe , Katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa Ban-Ki Moon akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa Afrika wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa tano wa TICAD jijini Yokohama leo asubuhi.