Mratibu wa Utamaduni wa Goethe Institut-Tanzania, Daniel Semheho (kulia) akiteja jambo na kiongozi wa kundi la Super Maya Baikoko Juma Nassoro (kushoto) katikati ni Mzungu Kichaa.
Godzilla mzigoni.
Ben Pol akipagawisha.
Msanii Nyemo akifanya vitu vyake stejini.
Barnaba na bendi yake.
 Jhiko Man.
Kala Jeremiah akiwarusha mashabiki.
---
Tamasha la Siku ya Muziki Duniani lililoandaliwa na Umoja wa Ulaya wa Taasisi za Utamaduni (EUNIC) na kudhaminiwa na Fastjet, Pepsi, Total na balozi za Ujerumani na Ufaransa lilifana vilivyo katika Viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa Juni 21 mwka huu. Pichani juu ni baadhi ya matukio ya burudani yaliyochukua nafasi siku hiyo.
Super Maya Baikoko kutoka Tanga wakifanya vitu vyao kwenye Tamasha la Siku ya Muziki Duniani lililonyika juzi (Ijumaa) kwenye Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.