![]() |
| Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Australia (kulia) akinyooshwa mkono juu kuashiria ushindi wake baada ya kumtwanga Ekkalak Saenchan wa Thailand kwa KO raundi ya kwanza. |
![]() |
| Bondia Mtanzania Omari Kimweri akimsukumia makonde mazito mfululizi bondia Ekkalak Saenchan wa Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni mwa wiki iliyopita. |


0 Comments