Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
 Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
 Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka.
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba