| Mkurugenzi wa TAHA akiteta Jambo na Mtaalamu wake kwa upande wa Visiwani Mzee Biwi wakati alipotembelea moja ya mashamba ya tikiti maji ya wakulima ambao ni wanachama wa TAHA. |
| Wataalamu kutoka Finland ambao ndio wawezeshaji wa shughuli za TAHA Zanzibar wakitazama moja ya shamba la Matikiti maji la moja ya vikundi wanachama wa TAHA. |
![]() |
| Mkurugenzi wa TAHA, Bi Jacqueline Mkindi akisema neno la ufunguzi kwa Mh. Mtumwa Kheir Mbarak na wageni waharikwa wakati wa sherehe hizo za ufunguzi wa Ofisi za TAHA-Zanzibar |
| Moja ya mashamba darasa ya TAHA yaliyopo eneo la Donge, Wilaya ya Kaskazini Unguja |
.jpg)
.jpg)

0 Comments