Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qi Man, nyumbani kwake Mbweni. Balozi Chen alikutana na Maalim Seif kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi nchini.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi zawadi Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qi Man, nyumbani kwake Mbweni. Balozi Chen alikutana na Maalim Seif kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi nchini.
  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akipokea zawadi kutoka kwa  Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qi Man, nyumbani kwake Mbweni. Balozi Chen alikutana na Maalim Seif kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi nchini. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib Ferej akipokea  zawadi kutoka kwa  Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qi Man, wakati wakiaagana kufuatia balozi huyo kumaliza muda wake wa utumishi nchini. 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na Balozi mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qi Man, nyumbani kwake Mbweni, kufuatia balozi huyo kumaliza muda wake wa utumishi nchini. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib Ferej na kushoto ni Afisa ubalozi wa China aliyepo Zanzibar. Picha na Salmin Said, OMKR.