Tutazidi kuwakumbuka mashujaa  na wanamapinduzi wetu,
Moja wao ni  mwanasiasa marehem Professor Abdulrahaman Mohemmed   Babu(RIP),mpiganaji,mwanaharakati,mwanasiasa,msomi,mwanaharakati
ujamaa kwake ulikuwa ndio mfumo wa maisha.
Marehem Abdulrahman Mohammed Babu alizaliwa siku kama ya leo 
22 September 1924 huko visiwani Zanzibar,
kama angelikuwa hai leo angesherekea siku yake ya kuzaliwa