Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiislam DMV (TAMCO) Bwn. Yusuf(kati) akiongea jambo kwenye sherehe ya Eid iliyofanyika Wheaton, Maryland Jumanne Oct 15, 2013 wengine kwenye picha ni Imam Hussein Ibrahim (kushoto) na mjumbe wa bodi ya udhamini ya TAMCO, Bwn. Seif Ameir
0 Comments