Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao
lililofungwa na Didier Kavumbagu (wa pili kulia), wakati wa mchezo wa Ligi Kuu
ya soka Tanzania Bara ilipopambana na Azam
FC kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Timu hizo zilitoka
sare ya 1-1. 

Heka heka: Golikipa wa timu ya Azam FC, Aishi Salum akiokoa moja ya hatari langoni mwake.