Wazazi wa Tareeq kushoto ni mama mzazi wa Tareeq President wa Deen Haag Miya na mumewe Mr Hasheem wakifungua mziki kuwakaribisha wageni wao waalikwa ukumbini.
 Bwana Harusi mtarajiwa na bi Harusi mtarajiwa wakifungua burudani ya muziki kama ishara ya uzinduzi wa sherehe yao hapo jana
 Kutoka kushoto ni Zuhra Biboze na Said Biboze anayefuata ni dada la kinyamwezi C'vuno na shostito wake Rabia Nyembo
 Bi harusi mtarajiwa katikati{Bi Esher} akiwa na wadau waliokuja kutoa sapoti ya shughuli yake
                            Bi harusi akiwa na Zuhra,Ramla na Shemsa 
 Hawa ni mabibi wa bwana Harusi mtarajiwa Tareeq,kushoto ni bibi kwa upande wa baba na kulia ni bibi kwa upande wa mama
                              Maharusi watarajiwa bwana Tareeq na bi Esher
 Wadau mbalimbali  akiwemo Maganga One katikati walishiriki hafla hiyo hapo jana
 Bidada Jamillah kushoto akiwa na dada yake Miya { Ze Prezidaa}
 Baba mzazi wa Tareeq Mr Hasheem akiwa na mdogo wake Mega Chessy
 Tajiri wa Almere bwana Kabila akiwa na shangazi wa bi harusi na mwenye t-shirt nyekundu ni Salum Meja
 Uncle Vitindi kushoto akiwa na dada langu la ukweli da Marim
 Madada wangu wa ukweli wakipata kumbukumbu hao jana
                   Shekh Karume kushoto akiwa na mdau katika hafla ya jana 

 Wadau walioshiriki katika hafla ya jana kulia ni Somoe na dada yetu
 Dada yangu Tabu kushoto,Somoe katika na Sexy mama kulia wakikupa smile hapo jana kwenye bahasha party.
 Mmoja wa washiriki katika hafla ya jana mama Naima kushoto akiwa na Naima ambaye ni binti yake na wadau wengineo wakipata burudani ya muziki
                     Brother Bachala kulia akiwa na wadau wenzake hapo jana
       Raha ya burudani ni kuburudika,jana mambo yalikuwa hiviii 
 Prezidaa wa Den Haag Miya kushoto akiwa na mkwewe mtarajiwa mtoto wake Esher
 Bi harusi mtarajiwa Esher kushoto na Sessy wakipata kumbukumbu hapo jana
 Kutoka kushoto ni bidada Chantal,bi harusi mtarajiwa na Triana
Esher akipata kumbukumbu na walioshiriki kwenye hafla yake hapo jana 
 Mr James Biboze akiwa na mkewe Mrs Biboze
Dj Key kulia akiwa na Dj Khatib Must pamoja na fundi mitambo aliyekuwa akirekebisha mambo yote ukumbini ili burudani ya muziki iende sawa Mega Chessy...